Tuesday, 21 October 2014

wakati mwingine watoto hupenda kuona ni jinsi gani wazazi wao tunawajali na kutambua uwepo wao. nilifanya hivi kumfariji kijana wangu kwani asubuhi kabda sijaenda kazini aliniambia anaumwa na niliporudi jioni nikamkuta kakasirika sana.. oooh no my boy.. nikaanza kumpiga picha wee mpaka akafurahi.

watoto ni faraja ndani ya nyumba.



No comments:

Post a Comment