Hata mboga pia uchangia kufanya upate hamu ya kula chakula..
1. utumbo wa nyama ya ng'ombe
2. majani ya kunde
3. kitunguu maji
4. nyanya
5. nyanya chungu
6. Tui zito la nazi
hivi ndivyo nilivyoipika mboga hii. . .
mimi nilikula kwa ugali tena nilienjoy sana jaribu na wewe uone radha yake
No comments:
Post a Comment