Wednesday, 22 October 2014

MAISHA NI WEWE NA HAKUNA MTU MWINGINE KATIKA MAISHA YAKO.

Nina imani sana na hii kauli... Kuna age inafika unatakiwa kujitambua na kukubali.  Maisha ni mimi na hakuna mtu mwingine katika maisha yangu.

Anza kwa kujitambua na kupanga mikakati. duu...!!!!!  hakuna mtu anaweza kukuambia maisha ni mepesi au alipo anzia ni karibu, HAPANA kila umuonae ana history yake mpaka kufikia hapo alipo.




 Twende kaziiiii....

kazi ni mpango mzima. Pigana kupata unacho stahiki kukipata.. Tabasamu pia ili kuifanya akili yako ikae sawa.

No comments:

Post a Comment