Moja ya vitu ambavyo navipenda nikiwa safarini. ni ule wakati wa kupata chochote.. napenda kununua vitu vidogo sana na kinywaji hiviii.... Pia napenda kuwa na tunda Apple.. sikosi big G.
kwa vile huwa sipendi kusinzia.. basi mimi sikosi vijarida kwenye mkoba wangu..
No comments:
Post a Comment