Tuesday, 21 October 2014

Kuna wakati mtu upenda kukaa mwenyewe kwa furaha yako na kupata mda mzuri wa kufikiri mambo yako binafsi pasipo kumshirikisha mtu. sometimes unahisi kuwa mwenyewe tuu.. uwaze hili na lile kwa upana zaidi.

Aliamua kutoka mwenyewe kupata upepo na utulivu wa akili.. nimependa muonekano wakeee...

 chukua hii wewe piaaaa.....




NI MAZAO YANAYO PATIKA NDANI YA TANZANIA.
 Ni fresh kutoka shambani.


No comments:

Post a Comment