Monday, 20 October 2014

URAFIKI WA UTOTO UNAVYOKUWA. lakini times come age fulani uwenda wasikumbukane tena. yote haya husababishwa na purukushani katika maisha.


 
 michezo ya watoto katika kipindi chao cha kufurahia maisha yao ya watoto.. hapo utaita weee wala hakusikii hata chakula anaweza kusamehe ilimradi tu asiache kucheza.

 kila mtu amepita katika kipindi hiki.. ni wachache sana ambao
mpaka kufikia utu uzima wanakuwa wanafanya mawasiliano. asilimia kubwa  tunapotezana. hali hii ni kwa sababu ya kuhangaika na maisha.

No comments:

Post a Comment